This is 2011 , nilikuwa naishi ,Kingeero Wangige it was my 3 year hizo sides .
mimi nimeiskia a few minutes ago mara ya kwanzaBoss uliskia hiyo wimbo 2011?
2011!!!
mimi nimeiskia a few minutes ago mara ya kwanza
yaani bado unakumbuka hiyo story? Huyo mwanamke saa hii vile ameezaka i hope corona haijapita na yeyeulikuwa busy na mama ya yule skin-head huko brito.![]()
![]()
yaani bado unakumbuka hiyo story? Huyo mwanamke saa hii vile ameezaka i hope corona haijapita na yeye
Hii wimbo nadhani niliskia 2000.This is 2011 , nilikuwa naishi ,Kingeero Wangige it was my 3 year hizo sides .
My bad wrong year .Boss uliskia hiyo wimbo 2011?
2011!!!
Might be right , imefanya ni Google which year Kiss FM ilianzishwa and indeed it's 2000 . Back in 2000 Jeff Mwangemis reggae show in the afternoon was my favourite ,then later every Friday metro FM reggae show from 9pm .Hii wimbo nadhani niliskia 2000.
Me tooNilikuwa class 7 na ile hit yao ingine Mobutu na Moi.
Uliwatch series ilikuwa inaitwa Millennium?Me too