Kwa kijiji mkachinja mbuzi na mtu, yeye akule karibu nusu , abakishie kijiji, the rest na marondo na kichwa then awambie bill ni yenu, huyo ni mtu mzuri kweli?Let's give Uhunye some credit.. barabara amejenga kabisaaaaaa.... Shida ni watu wengi hawana disposable income na maisha imeenda juu pia
Iyo credit iko shida ni scandals are overweighing the good.Let's give Uhunye some credit.. barabara amejenga kabisaaaaaa.... Shida ni watu wengi hawana disposable income na maisha imeenda juu pia