State house,harambee house & harambee annex

Mwendawazimu

Elder Lister
It is really worrying to see the number of conmen/women ( not Wheeler dealers) that have access to the seats of power in kenya.Every three months or so you hear of people who've been conned by "state operatives", having met big people in government, having been to the above offices to verify tenders then they realise they've been had.talk of merali ,Saudi royalty ,paying jomo gechaga to see UK etc all conned of serious money.makes you wonder if the men at the top know or are involved in the schemes?how many others have been scammed?
 
Si wewe...immediately hiyo story ya Echesa ili-break Egg alitokea na hekaya ati akiwa StateHouse kuna wakpra walim-approach ati awaondokee offis for 30 mins wampatie 30 mirrions ati akakataa...juhudi ni kuonyesha ati it happens even in state house.
Si Mimi ......lakini hiyo ni tabia ya gechaga kufanya hivyo.
 
Maneno ingine hats sijisumbui nayo...Hayanisaidii hata nikaujua ukweli,ukweli wote. Sababu hakuna kitu naweza fanya isipokuwa kusema sitapiga kura ama nihame tu niende Tristan da Cunha ama Alert nikaishi huko.
 
Back
Top