hiyo Tennessee fire ilinipatia heartburn mbaya sana.. enjoy lakini
Kiuliso Tu , hakuna local drinks zinaweza fikia kiwango ya hizi imported brands .Nowadays hizi drinks za majuu ziko kila mahali Kama safaricom .
Are the two brands local?I doubt kama kunazo. The other cheaper brands that match these ones ni William Lawson na passport.
Are the two brands local?
What's Omosh image got to do with my post?
Kuna fakeFire should be drunk when its chilled/ straight from the fridge. If you took yours when it was at room tenparature labda ndio ulipata heartburn. I'm only drinking the original JD.. Tuma zloty bana za kunisort next saturday.
Ongeza jaba na lanye
Jibabe msitoo
What's Omosh image got to do with my post?
.... alifikiri unamwambia that he's heading to the kalewa way...kumezea hizo drinks mate omosh style