Washa kindukulu
Nangoja with hofu kuskia ma-agemates wamesonga..............awful, awful time.It's not so cold but for Nairobi peeps it's freeze time. Keep warm man, hii covid na baridi can be a lethal combination
Be brave sir.Nangoja with hofu kuskia ma-agemates wamesonga..............awful, awful time.
Hopefully not me lakini................
Nyumbani kuna baridi + cold war + curfew nkt, ouru must go ! nani ako na phone yake ?It's not so cold but for Nairobi peeps it's freeze time. Keep warm man, hii covid na baridi can be a lethal combination
Afadhali wewe uko karibu na family, sisi hata off hakuna, last time i saw my family was in January for 3 days, najua kuna lister amefungiwa huko Ethiopia, kuna mwingine ako quarantine tripoli kwa front line kama observer.Nyumbani kuna baridi + cold war + curfew nkt, ouru must go ! nani ako na phone yake ?
Eat well, stay safe , you go no where man !Nangoja with hofu kuskia ma-agemates wamesonga..............awful, awful time.
Hopefully not me lakini................
Don't worry time ikifika we leave as we came.Nangoja with hofu kuskia ma-agemates wamesonga..............awful, awful time.
Hopefully not me lakini................
Kabla monaco imalizwe na mchele kulikua na supu mzuri sana na mali ya tumboEat well, stay safe , you go no where man !
Washa kindukulu
walaiKabla monaco imalizwe na mchele kulikua na supu mzuri sana na mali ya tumbo
Hii weather pacemaker ita operate vizuri Sana usikue na wasiwasiNangoja with hofu kuskia ma-agemates wamesonga..............awful, awful time.
Hopefully not me lakini................
Pole pambaman. Watoi watakusahau buda.Afadhali wewe uko karibu na family, sisi hata off hakuna, last time i saw my family was in January for 3 days, najua kuna lister amefungiwa huko Ethiopia, kuna mwingine ako quarantine tripoli kwa front line kama observer.