Mimi chura na nyoka ndio naogopa sana.kuna siku chura ilikam kwa ploti nilikuwa naishi,kulikuwa na wamama tupu mimi ndio nilkuwa mwanaume tu.Nikaskia wamathe wananiita kuja haraka.Wueh nilipata chura ingine kubwa inainua kichwa ni kama inafanya push ups.Niliitoa tu heshima isishuke but ndani...