Rafiki wa kweli ni mmoja tu naye ni YESU..Leo nitutazama ni kwanini!.
Ni rahisi kujitoa kwa ndugu yako wa damu, kujitoa kwa mali na hali....hata wakati mwingine kujitoa hata uhai kwaajili ya ndugu yako wa damu, hilo linawezekana pia...Ndio, wengi wapo radhi wafe ili watoto wao waishi, wapo...