Wa matuktuk,buying a soda should not be that difficult, labda aliambia soja anataka soda,nilienda kwa hardware ingine gikomba mpaka nikachanganyikiwa,unasema kile unataka unapatiwa risiti,lipia hapo mbele,unaenda unalipa risiti inapigwa stamp unatoka nayo unaenda mahali ingine unapatiana ndio...