Search results

  1. J

    TENGENEZA NYAVU ZAKO, OSHA NYAVU ZAKO.

    Shalom, Nakusalimu katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo. Karibu tujifunze maneno ya Bwana wetu. Katika mambo ya uvuvi, zipo kanuni za uvuvi za kufuatwa, wengi wetu tunadhani, kazi ya mvuvi ni ya kwenda tu kutupa nyavu baharini, kukusanya samaki, kisha kuwatoa nje, halafu basi analala, anaamka...
  2. J

    APENDANDAYE FEDHA HASHIBI FEDHA.

    Mbu ni mdudu ambaye endapo akitua juu ya mwili wa mtu, kama hatasumbuliwa kwa namna yoyote ile, basi atanyonya damu na mwisho wa siku tumbo lake litajaa sana mpaka kupasuka akiwa pale pale ananyonya!..na hapo ndio unakuwa mwisho wa maisha yake!. Utafiti unaonyesha, kuwa wakati mbu ananyonya...
  3. J

    UYATIE MACHOZI YANGU KATIKA CHUPA YAKO EE! BWANA.

    Mhubiri mmoja maarufu huko India, siku moja alionyeshwa maono, anasema alipokuwa anakwenda katika ziara zake za kuhubiri katika kijiji kimoja, ilikuwa ni desturi yake kukutana na baadhi ya wenyewe wa maeneo hayo nyumbani kwao na kuzungumza nao, Sasa anasema alipokuwa anakaribia nyumbani kwa...
  4. J

    KAMA VILE UMEME UTOKAVYO MASHARIKI UKAONEKANA HATA MAGHARIBI.

    Karibuni sana wapendwa
  5. J

    USIWE MSIKIAJI TU! BALI MTENDAJI.

    Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze biblia.. Neno la Mungu wetu linafananishwa na vitu vingi katika biblia, kuna mahali linafananishwa na “Taa” (Zab.119:105)”, sehemu nyingine linafananishwa na Upanga wa roho (Waebrania 4:12, Waefeso 6:17)” Na kuna sehemu linafananishwa...
  6. J

    KAMA VILE UMEME UTOKAVYO MASHARIKI UKAONEKANA HATA MAGHARIBI.

    Sawa Bwana akitufungulia mlango wa kufika tutakuja ndugu..Ubarikiwe.
  7. J

    KAMA VILE UMEME UTOKAVYO MASHARIKI UKAONEKANA HATA MAGHARIBI.

    Ni kipi kinakupa ujasiri wa kuishi ukristo ya juu juu tu ndugu ? Bwana atusaidie tujue majira tunayoishi.. Ulishawahi kutafakari kwa makini kwanini Bwana alifananisha kuja kwake na umeme? Kama tunavyosoma katika kitabu cha Mathayo 24:27-28 Umeme unaozungumziwa hapo sio huu wa transforma...
  8. J

    KAMA VILE UMEME UTOKAVYO MASHARIKI UKAONEKANA HATA MAGHARIBI.

    Utasoma tu..rafiki yangu..
  9. J

    MILANGO YA KUZIMU.

    Milango ni wingi wa neno “mlango”..( Malango na Milango), ni neno moja. Katika biblia tunasoma Neno hilo likitajwa na Bwana Yesu.. Tunasoma Mamlaka hayo alipewa Mtume Petro, na Mitume wengine pia walipewa mamlaka kama hayo (soma Yohana 20:23). Sasa Mlango maana yake ni maingilio ya mahali...
  10. J

    KAMA VILE UMEME UTOKAVYO MASHARIKI UKAONEKANA HATA MAGHARIBI.

    Ni kipi kinakupa ujasiri wa kuishi ukristo ya juu juu tu ndugu ? Bwana atusaidie tujue majira tunayoishi.. Ulishawahi kutafakari kwa makini kwanini Bwana alifananisha kuja kwake na umeme? Kama tunavyosoma katika kitabu cha Mathayo 24:27-28 Umeme unaozungumziwa hapo sio huu wa transforma...
  11. J

    MATESO YA KUZIMU.

    Je kuna uthibitisho wowote wa kimaandiko kwamba kutakuwa na mateso baada ya kifo kwa wale watakaokufa katika dhambi?. Jibu ni ndio.. Tusome, Watu wote ambao watamkataa Yesu katika maisha haya, watakapokufa wataenda kuzimu kwenye mateso, watu wote wanaoliharibu hekalu la Roho Mtakatifu (yaani...
  12. J

    MAMBO YA KUJIFUNZA KATIKA KITABU CHA FILEMONI.

    Jina kuu la Mwokozi wetu Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze biblia, Neno la Mungu ambalo ndio mwanga wa njia yetu na Taa iongozayo miguu yetu. (Zab.119:135). Kitabu cha Filemoni ni waraka ulioandikwa na Mtume Paulo wakati akiwa gerezani, Kwa mtu mmoja anayejulikana kama Filemoni...
  13. J

    VIKAANGUKA MACHONI PAKE VITU KAMA MAGAMBA.

    Wakati mwingine Mungu anatumia njia za dhahiri kabisa kufunua yale yanayoendelea rohoni. Kwamfano utaona wakati ule Yesu anakutana na yule kichaa, na kuyaamuru yale mapepo yamtoke, tukio lililofuata baada ya pale ni wale nguruwe kupelekwa moja kwa moja ziwani na yale mapepo na kuuliwa huko...
  14. J

    IMESALIA RAHA YA SABATO KWA WATU WA MUNGU.

    Bwana YESU asifiwe sana, karibu tujifunze Neno la Mungu. Awali ya yote ni vizuri tukaweka msingi kwanza wa kufahamu nini maana ya Sabato. Sabato maana yake ni pumziko/kuacha kufanya kazi/ kustarehe/kuingia rahani mwako. Mungu alifanya kazi yake ya kuumba kwa muda wa siku sita mfululuzo kama...
  15. J

    MWANZI ULIOPONDEKA.

    Wakati nautafakari huu mstari nikakumbua tukio lilotokea mahali nilipokuwa ninaishi kipindi cha nyuma, Nakumbuka wakati fulani tulipanda migomba. Na kila siku jioni na asubuhi nilikuwa na desturi ya kwenda kuimwagilia,.mpaka ikakua kiasi cha kuanza kuzaa ndizi,.Lakini siku moja usiku upepo...
  16. J

    MKESHA WA KUINGIA MWAKA MPYA KILA MWAKA NI WA KUUTHAMINI SANA.

    Leo tutaona kibiblia ni kwanini uuthamini mkesha wako wa kuingia mwaka mpya. Wengi wetu tunapuuzia, tunaona ni jambo la kawaida tu, na hivyo tunautumia msimu huu pengine kulala, au kwenda kufanya anasa, au kwenda kufanya part na ndugu au marafiki n.k.. Ni heri upange kwenda kusheherekea nao...
  17. J

    INJILI YA MANENO LAINI ITAKUGHARIMU.

    Ukiona unahubiriwa juu ya hukumu ya Mungu, au juu ya habari ya siku za mwisho halafu unachukia au unakwazika, lakini wakati huo huo ukiambiwa habari za mafanikio na mema ndio unafurahia, basi fahamu kuwa upo karibu sana kupotea. Kwasababu kitengo hicho ndicho kitengo-mama cha shetani...
  18. J

    BIBLIA INAITAJA NJIA KUU YA MFALME, NJIA HII NI IPI?

    Zamani enzi za biblia Njia kuu ya mfalme, ilikuwa ni njia iliyotengenezwa mahususi kuunganisha mataifa mengi na miji mingi, na lengo lilikuwa ni kurahisisha shughuli za kibiashara na usafirishaji katikati ya mataifa hayo wana chama., njia hiyo ilitoka Misri, na kupita Yordani, na moja kwa...
  19. J

    AINA TATU ZA WAKRISTO.

    Nakusalimu katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo. Karibu tujifunze maneno matukufu ya uzima, maadamu tumeiona leo. Wakristo wameganyika katika makundi makuu matatu, makundi hayo yanafananishwa na miti ya matunda. Na Miti ya matunda ipo ya aina tatu; Miti inayozaa matunda halisi Miti isiyozaa...
  20. J

    TUSIWE WATU WA KUPUNGUKIWA AKILI.

    Yeremia 4:22 “Kwa maana watu wangu ni wapumbavu, hawanijui; ni watoto waliopungukiwa na akili, wala hawana ufahamu; ni wenye akili katika kutenda mabaya, bali katika kutenda mema hawana maarifa”. Shalom, Mungu anatazamia kila mmoja wetu siku anapofanyika kuwa kiumbe kipya, bidii mpya iumbike...
Back
Top