Search results

  1. J

    USIWE ADUI WA BWANA

    Kuna siku Fulani nikiwa nasafiri kwenye gari, nikamsikia mtu fulani kwenye redio akisema “Rafiki wa adui yako ni Adui yako”..akimaanisha kuwa “mtu yeyote ambaye atashirikiana na yule mtu anayekupinga wewe, au anayekuchukia au anayekupiga vita basi huyo naye pia ni adui yako”..Haijalishi hakujui...
  2. J

    UNYAKUO WA KANISA

    Una habari kuwa tunaishi katika nyakati ambazo siku yoyoye Kristo anarudi?..Je umejiwekaje tayari? Kumpokea.. Kulingana na utabiri ya kibiblia Israeli tayari imeshakuwa taifa huru..siku yoyote injili inarudi kwao, na huku tutakuwa hatuna neema tena. https://rejeabiblia.com
  3. J

    *JINSI YA KUMSIKIA MUNGU, NA KUPOKEA MAFUNUO AU JUMBE KUTOKA KWAKE*

    Nakusalimu katika jina kuu sana la Bwana wetu Yesu Kristo, Karibu tuyatafakari maneno ya uzima, ambayo pekee ndio yanayoweza kutufanya sisi tuwe huru kweli kweli hapa duniani( Yohana 8:32). Leo tutajifunza, kanuni mojawapo ya kibiblia ambayo itatusaidia sisi kuweza kupokea jumbe, au mafunuo, au...
  4. J

    SIKU YA UNYAKUO ITAKUKUTAJE?

    Shalom.Jina la Bwana wetu Yesu Krito libarikiwe. Karibu tujifunze Biblia..Je unajua kuwa kuna siku Kristo atakuja kuwachukua wateule wake? Na kwenda nao mbinguni?..Je unajua watakaokwenda mbinguni ni wachache sana?…Biblia inasema njia ile imesonga na mlango ni mwembamba?.. Mathayo 7:14 “ Bali...
  5. J

    *MTI UANGUKAPO, PAPO HAPO UTALALA

    Mhubiri 11:3b “…… Na mti ukianguka kuelekea kusini, au kaskazini, Paangukapo ule mti, papo hapo utalala.” Maisha yetu yanafananishwa na mti, na tunajua siku mti unapoanguka aidha kwa uzee, au kwa kukatwa, kuanguka kwake kunategemea sana jinsi ulivyokuwa. Hata kama ni mnazi unaoonekana umenyooka...
  6. J

    *NA YEYE ALIYEKETI JUU YA WINGU AKAUTUPA MUNDU WAKE JUU YA NCHI, NCHI IKAVUNWA.

    Jina la Bwana Yesu libarikiwe. Karibu tujifunze maneno ya uzima. Biblia inasema.. Ufunuo 14:14 “Kisha nikaona, na tazama, wingu jeupe, na juu ya wingu hilo ameketi mmoja, mfano wa Mwanadamu, mwenye taji ya dhahabu juu ya kichwa chake, na katika mkono wake mundu mkali. 15 Na malaika mwingine...
  7. J

    *ADHABU KALI KUTOKA KWA MUNGU, ITAMPATA MTU WA NAMNA GANI?*

    https://wingulamashahidi.org/2022/01/06/adhabu-kali-ina-yeye-aiachaye-njia/ Mithali 15:10a “Adhabu kali ina yeye aiachaye njia;..”. Mapigo ya Mungu yanatofautiana na mtu na mtu.. Tofauti na tunavyodhani kuwa muuaji ndiye atakayeadhibiwa sana siku ile kuliko mtu aliyeuacha wokovu. Jibu la la...
  8. J

    Amdhaminiye mgeni hakosi ataumia

    SWALI: Nini maana ya huu mstari? Mithali 11: 15 “Amdhaminiye mgeni hakosi ataumia; Achukiaye mambo ya dhamana yu salama”. *JIBU* : Biblia ni kitabu pekee ambacho kinamfundisha mtu kutembea katika kanuni zote (yaani za mwilini na rohoni), jinsi ya kuishi katika roho, vilevile na jinsi ya kuishi...
  9. J

    *YUKO WAPI MFALME WA WAYAHUDI?*

    Vipindi vya ukristo huwa vinabadilika, mambo hayawezi kubaki vilevile tangu siku ulipookoka hadi siku unakufa. Yapo majira utamwona Kristo waziwazi katika Maisha yako, yapo majira Kristo hutamwona kwa uwazi kama unavyodhani, hapo ndipo itakapokugharimu kumtafuta, ili umpate. Hiyo ni kanuni...
  10. J

    Wanafunzi wa Yesu, walimaanisha nini kusema kama “Mambo ya mtu na mkewe yakiwa hivyo, haifai kuoa”?

    *JIBU* : Walisema hivyo, baada ya kusikia majibu ya swali lililoulizwa na Mafarisayo kwa Bwana Yesu. Ambapo swali lenyewe lilikuwa linahusiana na talaka katika ndoa, Hivyo wakataka kujua je! Ni sawa mtu kumpa talaka mwanamke kwa sababu yoyote ile mtu anayoiona mbele yake?. Waliuliza hivyo...
  11. J

    JINSI MUNGU ATAKAVYOTOA THAWABU ZAKE, NA VIGEZO ATAKAVYOTUMIA. (Sehemu ya 1)

    Bwana Yesu asifiwe, katika Makala hizi, tutazama vigezo ambavyo Mungu atavitumia kutoa thawabu zake, tutakapofika kule ng’ambo, Hii itatusaidia kuzidisha hamasa zetu katika kumtumikia Mungu, kama vile mtume Paulo, alivyoliona hilo, mpaka akasema.. Wafilipi 3:14 “nakaza mwendo, niifikilie mede...
  12. J

    KWANINI MTINI KATIKATI YA MIZABIBU?

    Kuna baadhi ya watu Mungu amewapanda katika kanisa, kwa namna ya kitofauti na kipekee sana.. Na pengine wenyewe hawalijui hilo..hivyo wanaishi maisha ya kimaficho ficho tu..au ya juu juu tu, kwa kisingizio kuwa wao si kama wengine.. wakidhani kuwa Kristo, amewaweka hapo bure, kwasababu hiyo...
  13. J

    UDHURU NI NINI KIBIBLIA ?

    Shalom, karibu tujifunze na tujikumbushe wajibu wetu sisi kama watakatifu katika safari yetu ya Imani hapa duniani. Kuna mambo ambayo tunaweza tukashindwa kumfanyia Mungu, tukadhani kuwa “Mungu anaelewa”, kumbe yanatafsirika kama Ni UDHURU mbele zake. Tofauti na sisi tunavyoweza kutafsiri Neno...
  14. J

    MUME / MKE BORA KUTOKA KWA BWANA UTAMWONA UKIWA KATIKA MAZINGIRA GANI?

    Nakusalimu katika jina kuu sana la Bwana wetu Yesu Kristo. Karibu tujifunze Neno la Mungu ili tupate maarifa sahihi ya kuishi hapa duniani. Na leo tutaona mazingira ambayo ukikaa katika hayo basi Mungu atakujalia umwone mke/mume sahihi aliyekuchagulia toka mbali. Tofauti na mazingira ya...
  15. J

    Biblia inaposema hakitaingia kinyonge ina maana gani?

    SWALI; Naomba kuuliza katika ufunuo 21:27 kwamba hakitaingia kilicho kinyonge hili neno kinyonge linamaanisha nini? Je ni watu dhaifu mfano vilema? Ufunuo wa Yohana 21:27 [27]Na ndani yake hakitaingia kamwe cho chote kilicho kinyonge, wala yeye afanyaye machukizo na uongo, bali wale...
  16. J

    NAO WAKADHANI YA KUWA YUMO KATIKA MSAFARA

    Bwana wetu Yesu Kristo asifiwe ndugu yangu.. Nyakati hizi za mwisho tunazoishi sasa, ni nyakati ambazo zinakithiri kuwa na mseto wa watu wengi wanaojiita wakristo, leo hii ni rahisi kuona hata msanii wa kidunia anaimba nyimbo za Injili, ni rahisi kuona, mashoga wanatoa michango ya kujenga...
  17. J

    FAHAMU MAJIRA ULIYOPO NA NINI UNAPASWA UWE NACHO.

    Kiwango cha uelewa kuhusu wokovu au Mungu waliokuwa nacho Kiwango cha uelewa, hutupaswi tuwe nacho sisi kwa wakati huu, tunapaswa tuende zaidi ya pale, Hata mambo ya kidunia yanatufundisha, elimu ya kidato cha 4 aliyokuwa nayo mtu wa mwaka 1960, Si sawa na elimu ya kidato cha 4 aliyonayo mtu wa...
  18. J

    Kuwaogopa wanadamu huleta mtego, .

    SWALI: Naomba kufahamu maana ya mstari huu” Mithali 29:25 “Kuwaogopa wanadamu huleta mtego, ..” Ni mitego gani hiyo hukupata iwapo utamwogopa mwanadamu?. JIBU: Ukiendelea kusoma inasema.. Mithali 29:25 [25]Kuwaogopa wanadamu huleta mtego; Bali amtumainiye BWANA atakuwa salama. Hofu ya kwamba...
  19. J

    MAKABURI YAKAFUNUKA; IKAINUKA MIILI MINGI YA WATAKATIFU WALIOLALA

    Nakusalimu katika jina kuu sana la Bwana wetu na mwokozi wetu Yesu Kristo, Mfalme wetu, Karibu tujifunze maneno ya uzima. Utakumbuka huduma ya Bwana wetu iligawanyika katika sehemu kuu tatu, Ya kwanza, ilikuwa ni hapa duniani, Ya pili ni Kuzimu Na ya tatu ni mbinguni. Lakini wengi wetu...
  20. J

    KIBIRITI ni kitu gani? kama kinavyozungumziwa kwenye maandiko?

    Kibiriti tofauti na kinavyojulikana leo kwamba, ni kipande kidogo cha boksi kilichojaa chiti zinazotumika katika kuwashia moto. Lakini tafsiri halisi ya “kibiriti” au “kiberiti” sio hiyo. Kibiriti ni aina ya mawe, yanayopatikana duniani, yajulikanayo kwa jina hilo la kibiriti au Salfa..Kwa...
Back
Top