Search results

  1. Jug

    Nairobi Jiji la Mawe

    Hehe, wacha kelele huoni moja ni konde na iyo ingine ni madiaba. Ogopa Kanairo
  2. Jug

    Shamas

    Noted
  3. Jug

    Shamas

    Jalopy ni Premio 240 (Bingwa asiskie ii maneno)
  4. Jug

    Shamas

    Wadau kuna jalopy imeleta umangaa, steering pump inaleak nimepitia hapo Shamas nikaambiwa iko lakini Ex-Japan. Nataka seal of approval nione ka nitasource iyo part hapo Shamas ka kuna Auto shop ingine that u can vouch for yenye wanauza genuine staff(kuna yenye nilichukua hpo Kirinyaga Rd lkn...
  5. Jug

    This is Guka - Huu Ujinga Umetoka Wapi? Bonobos Kweli Are Fearfully Made..........

    @Field Marshal Guka wanted to post the same thread in the morning after niliskia nyeuthi flani ikiitwa na jina mbili za mkoloni nikawa na makasiriko, hehe ama tulikuwa mahali moja?
  6. Jug

    Mombasa Rd Ayee!

    Leo nimekuwa na shughuli ii Barabara leo tunareport live from the scene. Maendeleo ya Express Way ndio ii Iso ndio nimegweza kupiga na pin hole camela yangu. For clear pics our senior reporter @Meria amesema atacheza kimessi kwa hivyo musikuwe na gwasi gwasi. Sande sana, Sande mno
  7. Jug

    Fuel goes up

    Tuonge na watu wa Mombasa Rd waeke gari parking until further notice, labda ii watu ndio wanatafanya tunaka watu pesa
  8. Jug

    Interesting football weekend...

    @Meria and @It's Me Scumbag(padre @Liberty we unaeza kaa kwa fence) kujeni tuonge na msitumane. Kop anaona giza
  9. Jug

    Super Bowl LV

    Nyinyi mlikuja kujaza number kwa uwanja, hata touchdown moya hakuna
  10. Jug

    Liverfool

    Alisson anapeana assists ki Ozil
  11. Jug

    Super Bowl LV

    Leo ni siku yakujua mbivu na mbichi(kiswahili apana mdomo change) kwa corner moja kuna mzee(Brady) na iyo kipande ingine kuna kijana(Mahomes). Uga utakuwa Raymond James Stadium, Tampa. Mechi ni Kati ya Tampa Bay Buccaneers na Kansas City Chiefs. (phew kahasho kamenitoka nikitype ii maneno).
  12. Jug

    Arsenal inamaliswa

    Ulinichapa kwa iyo:)(if u know u know)
  13. Jug

    Arsenal inamaliswa

    @It's Me Scumbag na @Meria, padre hafai kuwa kwa iyo klabu(Padre ni plastic fan) si mimi nimesema;)
  14. Jug

    Arsenal inamaliswa

    Ongea na @Meria, ii vifaranga yako inasumbua.
  15. Jug

    Arsenal inamaliswa

    Tukumbuke ndugu zetu wanao shabikia Arsenali katika maobi yetu ili wapate ushindi. @mzeiya hapo Villa Park inakaa nika kitaeleweka
  16. Jug

    Motorists using the Nakuru-Nairobi highway will pay toll fees for up to 30 years once its dual upgrade is completed.

    Wacha wamalize kutengeneza izo Ring Road zingine za Nairobi kwanza alafu waset eyes kwa ii barabara
  17. Jug

    Dogecoin

    @Denis Young rudi ulete list mzima ya Coins za kununua. Bitcoin nayo nilisema iyo ilishanipita
  18. Jug

    Kati ya Man Utd na Arsenalii ---Kitaeleweka!

    Nyinyi watu wa team ndogo mnasumbua...
  19. Jug

    Frank Lampard sacked!

    Director of Football pia aliseti Lampard, unasign karibu first team mzima na hakukuwa na Preseason, mwenye atachukua iyo kazi ashachimbiwa kaburi imebaki kujizika. Lakini watu wa Man U na Arsenali wako na patience na makocha wao
  20. Jug

    Watu wa fantasy : Manchester baibe

    Hawa watu hawataki tukae na amani...watoke iyo namba moja tupate amani
Back
Top