Imekuwa inasinya. Daily ukifungua klist. Unaona hii thread iko hapo juu. Na haina kitu mpya ukifunguwa. While kuna thread kama zote za corona chini yake. ADMIN UNPIN THIS THING
This proves that hii kitu iliingia Kenya kitambo, na gova ilijuwa hilo. Conspiracy theory yangu ni kwamba bigi flani kwa govt amepatikana. Na nikisema bigi namaanisha BIGI.