Walai ,,,ata nikusahau nilisahau kuquote hapo,,,,how comes watu wanapona wakati wameacha kujikinga. Siku hizi kuona mtu na mask SI kawaida,,social gathering watu wanajazana huko kma mbosho kwa gunia ,,na hawapati Corona ,infact wanapona ,,,alafu mutahj anasema aty tukanyagie hapo 😂😂😂😂(aty kuvaa...