Pesa ni yako ama ni ya serikali? Pesa ni kama kunguru at her prime. Wewe unachukua slices zako unaachia raiya. Mwenye ataachwa na msogoro shauri yake.
#MGTOW
Umbwa ya jkuat niaje.....juja boyz ni meffi tu, na akina @Pamba 1 walikanyaga hizo makei musuri sana. During my stint at UON walikuwa wanajua wenye kusema ndio nani. They were escorting us home like VIPS.
Leo niko off, and like the mbirrioneaa i am, I will be spending this lazy afternoon sipping some scotch nikimalizia Tom Clancy's Jack Ryan Season 2. I need recommendations ya series zingine kama hio tafadhali. Preferably produced after 2018