Kama lazima unakunyua si uchukue tu take away na watu wa chai wakienda kwa hoteli wanabeba aje?
Na watu wa nduthi.View attachment 9241
wale hukunywa haraka haraka ni hawkers na makanga, anaingia anameza kinusu flash alafu anachomoka.
Used to flash that way zile safire way back 2002 nikaenda ocha tried that stunt kwa changaa den one glass, black out direct, kutoka hio siku niliogopa changaa.View attachment 9241
wale hukunywa haraka haraka ni hawkers na makanga, anaingia anameza kinusu flash alafu anachomoka.
age has caught up with us.Used to flash that way zile safire way back 2002 nikaenda ocha tried that stunt kwa changaa den one glass, black out direct, kutoka hio siku niliogopa changaa.
Hii ni ugonjwa bana. Si starehe ya fobe ni kunywa ukiskiza ka ngoma kiasi ukiangalia haga za waitresses na kadhalika. Sasa kwa choo bana4 arrested selling and drinking alcohol inside the toilet at Members Bar in Makongeni near Delta Petrol Station
View attachment 9238