JazzMan
Elder Lister
Siwesmind kulipa lakini najua yote itaingia kwa mifuko ya watu. Yule anayejua mashimo aniunganishe pia mimi niibe.
And yes, natumia simu ya 2014 baada ya kugundua computer mzee bado inafanya kazi mzuri. Temporary JazzLady alivunja screen ya Samsung A31 akaitishwa 10 thousands kutengeneza screen. Machos tu.
Nilimkimbiza mashimo za Luthuli tukalipa 6k. Hii ya ni elfu mbili kutengeneza.
And yes, natumia simu ya 2014 baada ya kugundua computer mzee bado inafanya kazi mzuri. Temporary JazzLady alivunja screen ya Samsung A31 akaitishwa 10 thousands kutengeneza screen. Machos tu.
Nilimkimbiza mashimo za Luthuli tukalipa 6k. Hii ya ni elfu mbili kutengeneza.