TBT KCPE results Edition

Meria

Elder Lister
Staff member
Long long time ago tulikua tunabugia peremende bila karatasi bila wasiwasi wowote, the worst that could happen ni kuchomeka (kulikua na pubic lice too lakini mtu akipata hizo alikua anafyeka karura forest yote inakaa ninii ya mtoi)
Kuchomeka came in two types, Kaswende and kisonono, thats syphilis and gonorrhea the only deadly STIs that were there before AIDS, iliitwa kuchomeka kwa sababu for the meo 24hrs after contacting kisonono kukojoa ilikua ni shida, as the urine came out you woud feel a burning sensation and excruciating pain hadi unapiga nduru, the more you delayed to search for treatment the more the pain became, all this time the femeo who caused it hana habari, by 48hrs bila ujanja mwingine you had to head to casino hospital Latema rd in Nairobi CBD, this is where kuchomeka was treated for free, but there was a catch, kwenda leta mwenzako. it only took one injection and strict instructions to abstain for a fortnight and you were healed.
kaswende was more dangerous and still is, its very hard to detect for both the meo and femeo and when it does erupt on the meo after a few weeks its horrifying, the meo member gets horrendous pus filled wounds which makes one run for treatment, if you dont go for treatment the kaswende wounds will evaporate and hibernate inside your body to emerge later after like 20 to 30 yrs, it will attack your brain ukue a demented watermelon like what happened to Al-capone, closer to home Karen Blixen died from kaswende too but by the 60s the scientists had come up with a dose ikaacha kuua watu sana ikiwa stage one. Last stage huwezi saidika.
Sasa late 80s baba lao AIDS landed in our shores, this was a plague like no other, haikua na dawa. watu wale waliendelea kula peremende bila karatasi kama zamani walienda kuenda, the whole world was in a panic. Before you die mtu alikua anakonda kaa shindano anabaki mifupa tupu. People were being buried 10ft deep wrapped in nylon papers. The only way to prevent AIDS ama Ukimwi was to condomise ama ufanye zero grazing. siku hizi mumesahau, watu wana kula nyama kwa nyama and all you are afraid of is unwanted pregnancy, shauli yenu.
vile AIDS ilituacha na condom ndio Rona itatuacha na masks.
please observe all Covid protocols.
PS: Nani anajua hii hosi
174401177_3995100040510937_5349319478618926651_n.jpg
174350100_3995100000510941_2746702961165495585_n.jpg
174179605_3995100100510931_852516855332678469_n.jpg
 
Top