Mkongwe wa mashairi Abdallah Mwasimba ameaga dunia

Meria

Elder Lister
Staff member
Sauti yake ilisikika katika vituo vya redio kama kile cha Shirika la Habari la Kenya (KBC) na vilevile mashairi yake yamechapishwa katika safu ya ushairi ya gazeti la Taifa Leo.
Amekuwa ni mwanaharakati wa lugha ya Kiswahili.
Mwanawe wa kiume, Mwasimba Abdallah, amethibitisha kwamba mzee ametangulia mbele ya haki wakati akiwa na umri wa miaka 83.
Alizaliwa mwaka 1937 eneo la Matuga, Kwale.
mwasimba-800x500.jpg
mwasimba-1.jpg
 
Top