Jubilee Development: Ban on sale of roast maize

wrongturn

Elder Lister
Chief afanye nini mkienda kwake kumlilia kwamba watu wanaibia wengine mahindi kwa shamba na hawezi weka askari kwa kila shamba?
hiyo wizi in my area it was quite rampant, mnaenda kuvuna mahindi , kumbe katikati hakuna kitu. We rounded up all boys wa mtaa hadi kwa chief, wazee wa nyumba kumi gave them a stern warning of expulsion, wizi iliisha. they used to steal and sell cheaply to resellers ndo wapate za pombe.
 

Giggz

Elder Lister
The problem with the 'woke community' is that they have a problem with every solution. Whilst at the same time they will never offer their 'better' solution to end the problem once and for all
Last year some regions were barred from growing maize due to " insecurity" please advise.
 
Top