AoB 15th Dicemba 20201

QuadroK4000

Elder Lister
Sunday Nation? Atī kīī? Then you mangle it up. The most expensive newspaper around? Every copy of that paper had the illustrious "Son of the Soil" articles....
Hehe those kind of pages and young nation were not to be messed up with. I repeat!

Hizo hata waleo ziko kwa cube shags!

I have a ka small library for such
 
Last edited:

Magreb

Elder Lister
Hehe this was a hobby twice a week.

By 6pm ndio unaanza procedure.

Carefully remove it unaweka maji ya omo, unaiosha na soft cloth, rinse it..... Weka mbali ikauke. Sort out the chimney with a soft brush... Then trim the wick.

Panguza taa vizuri, let it dry... Angalia kama fuel iko proper......

By seven unganisha kila kitu.....

By the time unaasha hiyo Dietz, itawaka kama bulb.

:)
Mimi expertise yangu ilikuwa kwa zile pressure lamps. Kukiwa na sherehe nilikuwa natafutwa specifically kuwasha hio taa. Lakini quite honestly, hata Mimi sikuwahi elewa vile unawasha utambi inaungua inakua makaa then after a few pumps inatoa light the whole night.
 

QuadroK4000

Elder Lister
Mimi expertise yangu ilikuwa kwa zile pressure lamps. Kukiwa na sherehe nilikuwa natafutwa specifically kuwasha hio taa. Lakini quite honestly, hata Mimi sikuwahi elewa vile unawasha utambi inaungua inakua makaa then after a few pumps inatoa light the whole night.
Sasa hiyo ilikua ya dynasties.... Kwetu ilikua Inaitwa

Tawa wa ciiiiiiiiii

Tawa is lamp

Ciiiiiiii was the sound when it was running on full throttle
 

mzeiya

Elder Lister
Mimi expertise yangu ilikuwa kwa zile pressure lamps.
This was our main source in our city home whenever KPLC misbehaved such as during that elongated power rationing period in the early 2000s..

Problem was with how delicate the ash-like wick was and the amount of pumping involved. Also, one had to use methylated spirit which had to be delicately inserted into the lamp Buana.

Fuck's sake, tumetoka mbali sana wadau.

There was a mutura guy back in the hood, maybe he was @Mongrel in his early years who used to enjoy pumping that red thingy hadi iwake visuri.

Oh, good old days bro!
 

Magreb

Elder Lister
This was our main source in our city home whenever KPLC misbehaved such as during that elongated power rationing period in the early 2000s..

Problem was with how delicate the ash-like wick was and the amount of pumping involved. Also, one had to use methylated spirit which had to be delicately inserted into the lamp Buana.

Fuck's sake, tumetoka mbali sana wadau.

There was a mutura guy back in the hood, maybe he was @Mongrel in his early years who used to enjoy pumping that red thingy hadi iwake visuri.

Oh, good old days bro!
Kwa matanga singeweza lala na amani usiku. Every few moment, "engineer" ningeamushwa kwenda kupump taa iwake na bidii.
 
Top