True. Nilijaribu mkono yangu kwa ii kazi nikajipeleka na kiherehere ati mbao ni kukata venye unajua, nilipashwa nikaambiwa kuna a certain way to go about it. Mtu anakata mbao na inatoka sawa bila kutumia randa. @Eye Candy best way to learn ni utafute jamaa anaelewa ii job ukuwe mtu ya mkono...