Siasa ni noma sana

The.Black.Templar

Elder Lister
Staff member
FB_IMG_1609954584990.jpg
FB_IMG_1609954567992.jpg
FB_IMG_1609954575011.jpg


Apparently huyo ni thuo mathenge, aspiring governor in Nyeri
 
watu kama hawa wakuomba politicians msaada ndio wanarudisha hii nchi nyuma.
tunafaa kua tunawauliza wanafanya nini kufanya maisha yetu ikue rahisi si kuwaomba msaada.

kesho atakua anajiongezea mshahara na badala tusimame kama wenye nchi tutete hadi wapunguze, tutateta tu kwa mdomo alafu kesho tutaomba msaada.

am sure sasa amesema hawezi mpaa kura na watapatia mwenye ata wanunulia kitu kura. wacha mchezo uchezwe hivyo hivyo. waku umia aumie wakuomoka aomoke
 
Karima ward is in Othaya if I remember correctly, sasa watu wa Highland kama Othaya wakiomba chakula after the good rains we had? Watu wa solio an ASAL area in Kieni east wataelekea wapi?
Nowadays people have no pride, Yaani kupiga bakuli kila Mahali.
kabsaa,
and its getting worse each day.
i have a feeling that by end of year, we shall start stealing from each other openly during the daytime like South Africa.

tough times ahead
 
kabsaa,
and its getting worse each day.
i have a feeling that by end of year, we shall start stealing from each other openly during the daytime like South Africa.

tough times ahead
Let's hope haitafika hapo but the begging around has to stop.
 
kabsaa,
and its getting worse each day.
i have a feeling that by end of year, we shall start stealing from each other openly during the daytime like South Africa.

tough times ahead
What do you think is driving these mass killing like the one witnessed in Kiambu today in the morning
 
What do you think is driving these mass killing like the one witnessed in Kiambu today in the morning
its greed or the systems are failing such that one can kill and get away with it.
it could be revenge or just plain land grabbing.

videos from South Africa are worrying hope we don't get to that level.
 
Back
Top