Ngima ya Mûhîa
Elder Lister
Only PokotNguruba keti huko, unajua kesigon in kitale?
Only PokotNguruba keti huko, unajua kesigon in kitale?
Kama ya mamako!Una akili ndogo sana mjamaa
Hii ndiyo tunaita kutolea panga kisu.Huyo ni wewe kwa hiyo picha? Haki uko msupuu! Niingie inbox ama?
Mbona?Hii ndiyo tunaita kutolea panga kisu.
Ushawahi fika kesigon?Only Pokot
KabisaUshawahi fika kesigon?
Iko wapi kitale?Kabisa
Tulia, blalfakkin.Kama ya mamako!
Kuna @Pamba 1 , flani alifanya kazi Kitui, alikua ananishow amewahi simamisha lorry aliona imebeba makaa, kwa mbali, wakati inamfikia anaona ni punda imebeba mitungi ya maji.sijai amini hii uchawi ni possible, never encountered one my whole life, naskia tu story so and so alirogwa bla bla bla
Hahahahahaha!Kuna @Pamba 1 , flani alifanya kazi Kitui, alikua ananishow amewahi simamisha lorry aliona imebeba makaa, kwa mbali, wakati inamfikia anaona ni punda imebeba mitungi ya maji.
Even one.Waaah , pole .Its painful to lose such a number in one night.
Pole sana broI woke up this morning nikapata mbuzi saba wameenda. How the thieves broke in without me hearing anything is still a mystery. And since God is merciful and forgiving, I want to go the other route. I won't even bother reporting to the cops.
Am looking for a 100% surebet mchawi nipate hao wezi. I don't mind spending more than the value of the goats. Please share contacts. Urgently.
Hehe kesegon.Iko wapi kitale?
leo emotions za ngima n family na fellow trumpist ziko juu sana.. @Jumabekavu nukisha kitunguuTulia, blalfakkin.