Mwalimu-G
Elder Lister
True, nimeambiwa ili-buy-iwa 35 na ilikuwa na offer.Bei ndio iko juu aki....
True, nimeambiwa ili-buy-iwa 35 na ilikuwa na offer.Bei ndio iko juu aki....
Can I challenge you ?Mimi ni Hustler, everything goes
YesCan I challenge you ?
Unalalia godoro ya 35k,kwani Ina sing for you lullabies?True, nimeambiwa ili-buy-iwa 35 na ilikuwa na offer.
My friend ta Mugikuyu you know wakati bibi alipewa kiriri chake aende nacho aliambiwa hiyo ni department yako uhakikishage ni safi na salama kufinyiwa inavyotakikana. Mimi kazi yangu ni kulala mahali penye pametayarishwa. Hata upgrade sikuhusishwa nilipata kitanda mpya na mattress.Unalalia godoro ya 35k,kwani Ina sing for you lullabies?
Hug from a mattress !Nilikuwa nafikiria Dr matress inakuhug ukilala... Ama unatofoka unaskia kama sponge unamassagiwa mgongo lakini wapi!!! Kitu enye iko ni durability tu.... But it's the most expensive... From 20k and above....
Post picha ya corner ya hizo mattress with a note imeandikwa Wakayama and today's date .
Niaje bigMimi ni Hustler, everything goes
Kwanini unapoteza hawa vijana ?Filth gani,? Hizo Ni byproducts za binadamu sio wanyama,nimekuwekea ingine swafi sana
Enda Dr. Mattress factory outlet pale Ruiru opposite junction ya Northern bypass and Thika road. They have a wide variety from which you can make your choice at factory prices. Hawa manufacturers wengine wana tabia za kuchukua shortcuts mingi in terms of material quality.Washikadau, I've always believed heavy duty mattress ile ya blue ni kitu moja no matter the manufacturer, vitafoam, superfoam, bobmill....
Natafuta mattress na for the first time nimeskia watu wakisema ati some mattresses are better than others. Nimeskia a new brand called moko, then another Dr. mattress tho hii nashuku itapita mfuko wangu. Iko mtu amenunua mattress and can swear thru experience that one brand is superior to another? Ama tu nitafute best price for the size and density?
Bobmill has a long history, I remember visiting their workshop huko ndani at ndarugu along thika road many many years huyu mzungu had machines ,Dr. Mattress is good, but out of reach for common mwananchi.
I would suggest Vitafoam. And be sure to get from a reputable place coz kuna fakes.
Pia Bobmill like @Kasaman has stated above.
Northern bypass it is .junction ya southern bypass and Thika road.
Ni biashara tiwanaKwanini unapoteza hawa vijana ?
A mattress is a sacred item ,why do thinks people will gift a new complete bed in wedding ? Kìgongona gìtikathatio !
Notìge wana wamùtùra !
Challenge accepted but sio leo, I am a Hustler na saa hii siko hio base,Post picha ya corner ya hizo mattress with a note imeandikwa Wakayama and today's date .
Niko na magodoro swafii Sana ya second hand Kama mfuko yako haifiki Bei ya duka, poverty is not a crime
I know the right people![]()
![]()
![]()
![]()
omwami wewe huwa na kila kitu, mara mattress, mara paint..... ni tenants wewe huchota corona ikimess na their ability to pay rent?
Silent nayo?Dr. Mattress is good, but out of reach for common mwananchi.
I would suggest Vitafoam. And be sure to get from a reputable place coz kuna fakes.
Pia Bobmill like @Kasaman has stated above.
sasa wewe ndio the right person, b4 changing your office location ulikuwa unalalia gani, na have you noticed tofauti? Is the price worth it?True, nimeambiwa ili-buy-iwa 35 na ilikuwa na offer.
Pia iko poaSilent nayo?